WAMACU kama chama cha ushirika kilichoidhinishwa na kufuata taratibu zote za usajiri na kupata hati ya usajiri ya nambari 5573 kina mamlaka ya kufanya shughuli mbalimbali zinazo husiana na kilimo ikishirikiana na tume ya maendeleo ya ushirika pamoja na wizara ya kilimo.
WAJIBU NA KAZI
Wajibu wa chama cha wakulima wa mara cooperative union (WAMACU) kulingana na kanuni na taratibu ya vyama vya ushirika nnchini ni kama ifuatavyo.